CHADEMA, bado ngangari
Katibu Mkuu wa Chama cha
Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilibrod Slaa akiwahutubia
wanachi wa mji wa Kamaha na vitongoji vyake, ikiwa ni sehemu ya ziara
yake ya kukagua na kuimarisja uhai wa chama katika mikoa ya Shinyanga,
Kigoma, Tabora na Singida, uliofanyika kwenye Uwanja wa CDT mjini Kahama leo. (Picha na Joseph Senga)
No comments:
Post a Comment